Recent content by rugendo

  1. R

    Nafasi za jwtz

    kujiajiri unadhani ni kazi rahisi kihivyo hiyo mitaji utaipata wapi? wafanyabiashara wenyewe wanafanya na familia zao sasa mie mtoto wa mlalahoi nitaenda wapi bora hata ningekuwa mtroto wa mkulima ningejiunga na kilimo kwanza sasa hata shamba sina, du hii ni noma.
  2. R

    Nafasi za jwtz

    tutatafuta tu hao wakutupromoti maana siku hizi ajira kama muziki wa kizazi kipya lazima uwe na promota tena zaidi ya mmoja .:yawn: TANZANIA BILA AJIRA INAWEZEKANA!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Back
Top Bottom