Hata mi nakubali. Hii ni kati ya makala bora kabisa nilizowahi kuzisoma hapa JF. Hadi imefanya nikomenti yaani. Nakubaliana na goodluck5 kwamba hii yote ni kwa sababu ya kulamba asali tu. Pia hoja ya mtoa mada kwamba Nyerere ndiye aliyekuwa msomi mashuhuri na mzalendo kindakindaki lakini...
Jamani kumbe Tanzania tuna vichwa vimetulia tu. Hili andiko ni kiboko! Halafu mbona maada kama hizi wale wachambuzi nguli kina Paschal Mayala na wengine huwa hawagusi? Kaka Paskali, njoo huku unaitwaa :)
This is economics 101 right there! Ndiyo maana baadhi hapa wanashindwa kuelewa. Kaka yangu keep up the good work ya kuwaelewesha watu wanaohitaji maendeleo wala usibabaishwe na matusi ya maccm hao. Hao tumewazoea na dawa yao iko INAPIKWA ICC!! Sisi Watanzania we are behind you! xx
Ruby
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.