Pole sana sana sana..ongea na Mungu kama ni muombaji. Mungu wetu ni mwaminifu mno,anatuwazia yaliyo mema haijalishi wengine watawaza nini. Kuna wenye cancer inawatafuna kila siku, covid 19 wako wanapumulia mashine. Pengine sisi tunaojiona wazima tunaweza kuondoka duniani kwa ajali au chochote...
Asante nilishafanya na kukubali kuanza upya. Maisha yangu yalikuwa hatarini. Chochote kinachotishia uhai wako si cha kukifumbia macho. Kwangu ilitosha.
Nashukuru sana..nilisha move on muda mrefu na sijawahi kunyanyapaa single mother tena raha sana kuishi bila kuulizwa na kuudhiwa😄 japo yeye bado ananifanyia visa vya mbalimbali na distance yote.
Pole sana kaka.
Mimi ninaeielekea I am so positive about it. Kwanini? Sababu kuna makosa hata tukiwasamehe watu,they will keep on doing it over and over again.
Stay focused,inaumiza sana hata mimi napitia maswali magumu sana kwa situation yangu but uzima na amani ya moyo ni muhimu kuliko...
Nashukuru sana japo nilishathibitisha yeye kuzini nje..dharau iliongezeka na vipigo. Nipo tayari kwenye mchakato wa divorce na sihitaji ndoa tena maishani mwangu. Pole sana kwa changamoto the world is full of surprises,POLE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.