Hello wapendwa una mtaji mdogo au mkubwa na unataka uanze biashara ya Nguo za mtumba
Then karibu nikuhudumie kwa buku tu kukuelekeza na kukushauri kuhusu biashara ya nguo za mtumba
Za watoto
Za kike
Na kiume
Bei nafuu
Mfano nguo za watoto unapata kwanzia sh 300 , 500 , 1000 wewe tu
Nguo...
Karibuni jamani niwaelekeze sehemu za kupata mitumba safi hasa kwa wale wenye vipato vidogo na unataka kuanza biashara usisubiri hadi upate mtaji mkubwa unaweza anza na kidgo nitakuonesha sehemu nzuri ambazo unaweza pata nguo hadi kwa 300 au 500 unakwenda kunuosha na kuuza bei ambayo itakupa...
Kabla ya kufungua mzigo mpya nimeamua nifanye sale
Jaman nauza gauni mtumba quality 3500 af tatu tu
Sket imebak moja 2000 tu
Vitop vishat 1500 tu
Karibuni sana wasap or call 0625056158
Hello naunza nguo nzuri za mtumba magauni sket na toos/vishat vya juu
Magauni reja reja bei kuanzia 5000 hadi 4000 na reja reja magauni 2500 hadi 3000
Tops na vishat nauza reja reja 3000 had 2500 na jumla hei kuanzia 1500 vingine hadi buku tu na vizuri mnoo
karibuni nitaweka mifano apo chini...
hey wapendwa
Kama unataka nguo za kuuza au za familia au za kupeleka vijijini karibuni natoa huduma za kwenda kukuonesha machimbo utakopata nguo kali
Magauni kuanzia 1000 hadi 3000
Sket unapata kuanzia 500 hadi 3000
Toos na vishati unapata kuanzia 300 au 500 hadi 2000
Karibuni sana ukitaka...
Hellow guys unamaliza chuo kazi hamna naomba mnisapport mm kijana mwenzenu
Kama wewe ni mjasiliamali mdogo na unataka kuuza nguo na unataka nikupeleke kutafuta nguo nzuri za mtumba karibu nikuhudumie
Magauni bei inaanzia 500 hadi 4000 tu
Sket kuanzia 500 - 3000
Na tops na shirts ni kuanzia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.