Recent content by Rose tesha

  1. Rose tesha

    Angalizo: Baadhi ya dalili za vidonda vya tumbo hufanana na dalili za magonjwa ya moyo

    Mimi tatizo langu la acid ni hlo hlona nilitumia muongozo wa daktar nikakaa sawa sahv nimejifungua sasa chakula king ni ndizi kwangu Kwa hii miez ya mwanzo na tatizo naona linataka kujirud nifanyeje na ninanyonyesha ?
  2. Rose tesha

    Vidonda vya tumbo vinaanza kurejea, nifanye nini kukabiliana na changamoto hii?

    Msaada, Mimi ni mhanga wa acid kujaa kwenye tumbo had kupanda kwenye Koo Kwa muda wa miaka miwili. Nilienda hospital mbalimbal bila mafanikio ila nikaenda singida hospital ya itigi wakanipa dawa na vyakula ambavyo natakiwa nisitumie na mpangilio wa kula, kweli nikafanya hivyo baada ya miezi...
Back
Top Bottom