Mimi tatizo langu la acid ni hlo hlona nilitumia muongozo wa daktar nikakaa sawa sahv nimejifungua sasa chakula king ni ndizi kwangu Kwa hii miez ya mwanzo na tatizo naona linataka kujirud nifanyeje na ninanyonyesha ?
Msaada,
Mimi ni mhanga wa acid kujaa kwenye tumbo had kupanda kwenye Koo Kwa muda wa miaka miwili. Nilienda hospital mbalimbal bila mafanikio ila nikaenda singida hospital ya itigi wakanipa dawa na vyakula ambavyo natakiwa nisitumie na mpangilio wa kula, kweli nikafanya hivyo baada ya miezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.