Wanaotaka Messi ahame.. wahame wao kwanza makwao then Messi atahama barca. Messi tayari yupo kwenye club bora ya dunia..unataka ahame aende club gani?? Ikiwa maendeleo/mafanikio katika soka ni pamoja na kuhama (kununuliwa) kutoka club ya chini kwenda kwenye club ya kiwango cha juu. Mf; G. Bale...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.