Habari ndugu zangu kwa pilikalilika za kutwa nzima ,nimevutiwa na ujasiliamali hivyo nikaona bora niingie katika suala la ujasiliamali.
Ndugu zangu naomba msaada kwa mtu yeyote anayefahamu mashine ya kutengenezea mifuko mbadala inapatikana wapi,na inauzwa sh ngapi .Natanguliza shukrani
Sent...
Inategemea mtu aliyekuandikia risiti hawezi kuzitofautisha kwa kila items katika risiti moja ila akaamua kutoa kila item na risiti yake ,mwisho wa siku ukijumulisha total amount inakuja sawa na uliyotoa mkuu.
Ndugu zangu naombeni kunifahamisha fursa inayopatikana mkoa wa kigoma kwa wenyeji wa mkoa huo hasa wilaya ya kibondo ,nataka nihamie kigoma .Natanguliza shukran.
Habari ya muda huu ndugu zangu,samahani napenda kuuliza kwa wakazi wa kigoma au mtu yeyote anayeifahamu kigoma hasa maeneo ya wilaya ya kibondo ni fursa gani inapatikana kule,? Asanteni sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.