Recent content by rombosa

  1. rombosa

    KERO Changamoto ya usafiri na ongezeko la nauli nyakati za jioni Dar es Salaam

    Kwanini daladala zinazosafirisha abiria kutokea eneo la Gerezani / Shule ya msingi Uhuru kuelekea Temeke hususani Buza zinatoza nauli kubwa tofauti na bei elekezi ya serikali? Bei elekezi ya serikali ni TSH 600/- lakini inapofika nyakati za jioni nauli inabadilika hadi kufikia TSH 1,000/-. Je...
Back
Top Bottom