Nyumba imejengwa siku za karibuni (mpya). Ipo Ununio umbali wa kilometa tisa kutoka Mbuyuni (Njia panda ya kwenda Kunduchi), kwenye eneo lililopimwa na lililosheheni nyumba za kisasa. Nyumba hii ina vyumba vikubwa vitatu vya kulala (vyote self-contained - vina choo cha kisasa, bafu na makabati...
This is a newly built residential mansion constructed at high standard of workmanship and specifications. It is located at Ununio, an emerging posh residential neighborhood. The bungalow provides approximately 200 square metre of living space. Accommodation includes three self contained...
Lipo vikawe (Wilaya ya Kibaha) karibu kabisa na barabara inayotarajiwa kujengwa siku za karibuni kuunganisha barabara za Morogoro na Bagamoyo. Bomba kubwa la maji litapita karibu na na hapo. Eneo kwa ajili ya kupitisha miundo mbinu hiyo (bomba la maji na barabara) limeshatwaliwa. Kwa sasa ipo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.