Recent content by Romantic Boo

  1. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Moderators, naomba msaada wa kuufuta huu Uzi. Asante.
  2. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MREJESHO: Sugar mamy amepatikana.

    Moderators, naomba mnisaidie kufuta huu Uzi.
  3. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania MREJESHO: Sugar mamy amepatikana.

    Habari za weekend wana jamvi. Awali ya yote napenda kuchua nafasi hii muhimu kusema asanteni wote kwa michango yenu. Vilevile kuwaomba radhi wale wote tuliopishana kauli au waliokwazika kwa namna moja ama nyingine katika uzi wangu uliopita. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Kwa...
  4. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Wapo waliokuja pm from day one, ila sikuwaelewa kabisa. Nadhani wengi wao, wamekuja kwa attention ya kuninunua. Yaani wanataka tukulane then wanipe mkwanja. Ila mimi sipo huko, ninachokitafuta ni mapenzi ya dhati ili nitulize moyo na akili, na wala sio pesa. Naomba niweke wazi tena, kwamba...
  5. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Kwasababu, sinaga hobby na wanawake wadogo. Ila hata pale nilipojaribu kuwa nao, kweli sikuenjoy maisha kabisa. Wengi wao ni wahuni tu, full attentions zisizo na kichwa wala miguu. That's way now nimeamua kujituliza na lika hilo. Ingawa na wao wanachangamoto zao, ila sio kama za hao watoto au...
  6. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Ahahaha sikusoma vizuri, "ety nimekuletea mtongozo..." Aise!!! Sasa kama umeleta pigo za kidada, me nifanyaje. Au unaisi nimeanzisha uzi wa kuenjoy watu?!!. Embu acha kuchosha watu bhana, kama huna kazi ya kufanya, nenda kalale. Ahahaha ety mtu unajiita mwanaume, afu unajitangazia kwamba...
  7. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Ndugu, kwani shida ipo wapi ukikaa kimya. Mbona wapo wenzako waliochungulia na kutoka kimya kimya, au wewe ndio unajua sana kucomment?!!. Ndio maana tangu awali nilikwambia, "usijipe kazi ya kumjaji mtu usiyemjua" ona sasa Umeanza mambo ya JF Acc!!! Hivi mimi nikija na known Id yangu, wewe...
  8. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Ahhahha kumbe nawe limekutach hilo. Ila naomba usisahau kwamba, KUPANIC HADHARANI, ni fedhea kubwa. Ahahaha huu mchezo hauhitaji hasira. That's way nikakuita pm tuyamalize kimya kimya. Ona sasa unaumbuka hahahaha Siku nyingine punguza papala ndugu, wenzio tuna soma kwanza heading ya Uzi, ndio...
  9. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Nishakuanza mimi, ingia utanikuta. Then naomba tu unijibu Aunt....wala usinibrok please. Hilo tu. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Dah kumbe wewe ndio cougar?!! Sorry sikulijua hilo mapema. Ningelijua nisingebishana na aunty. Welcome pm, tumalizane mapema. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Asante mkuu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Me sijaomba ushauri ndugu yangu. Embu rudia tena kusoma vizuri. Sent using Jamii Forums mobile app
  13. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Exactly upo sahihi mkuu. Nadhani ni issue ya kasumba tu, ipo siku itapotea pia, kama zilivyopotea nyingine. Sent using Jamii Forums mobile app
  14. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Hivi unafahamu kwamba "sio mara zote jalada la kitabu, uwakisi yaliyomo ndani ya kitabu?". Mimi nadhani ungepita kimya kimya, pengine ingekusaidia zaidi. Kuliko kupoteza muda, kumjaji mtu usiyemfahamu. Sent using Jamii Forums mobile app
  15. Romantic Boo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Namuhitaji COUGAR.

    Okey bye. Sent using Jamii Forums mobile app
Back
Top Bottom