Mimi kama kichwa kitupu siwez kukaa kimya wacha nkujib kaka.. Achana na hizi elimu tulizonazo skuiz diproma sjui degree angalia ndoa za mama zetu wa zamani waliokua wakiolewa hawajui kusoma Wala kuandika compare na zetu tunaojiita wasomi wenye degree zipi zinadumu ? ukipata jibu kichwa kitupu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.