Asalaam wakuu, poleni na janga la korona popote mlipo.
Kwa kifupi nipo kijijini na mtumishi, nauliza kwa mwenye uzoefu wa hizi mashine za kukoboa na kusaga, changamoto zake na bei zake na zinavyolipa.
Nipo kwenye kijiji ambacho hakina mashine ya uhakika kabisa ya huduma hiyo.
Naombeni mwenye...
Mkipatikana watu 1000 wa Tanzania kama wewe wenye positive mindset kwa kias kikubwa tutapunguza umaskini ,thanks uncle nimekuelewa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Muulize huyo mtaalam,mpunga unaharibika baada ya muda gani ,je mvua zitakuwa nyingi tena mwakani?akikupa jibu rudi hapa utueleze,
NOT ALL EYES CAN SEE OPPORTUNITIES,IT IS SEEN BY FEW PEOPLE
Sent using Jamii Forums mobile app
Think big brother ,acha joking naleta fursa unaleta utani,mm ni mtumishi nipo kijijini , nina pesa wanazengo wa na mazao natumia nafasi hio kufanya namna au?
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa mkuu ila najitoa mhanga na kuwa na tahadhari ya hali ya juu ,kwa kifupi nipo tayari Kutake risky ,na sikurupuki na najiandaa kukusanya magunia 200 ,Nashukuru sana kwa ushauri ,nitafanyia kazi wasiwasi uliopo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.