Nchi yetu imebarikiwa kwa kuwa na idadi kubwa ya vijana kwa mujibu wa sensa.
Napendekeza Tanzania tunayo itaka ione hii kama fursa kwa maendeleo ya nchi,
Kama vile ikitokea janga la njaa, mafuriko, maporomoko ya tope kule hanangi, na majanga mengine serikali inao wajibu pia kulichukulia swala...
Mtazamo wa elimu yetu ni kuwa elimu ni njia ya kupata fedha na maisha bora, Tumekuwa tukiona walimu, wazazi/walezi, viongozi wa serikali na jamii ikihamasisha watoto kuzingatia elimu ili baadae waishi maisha mazuri, badala ya kusisistiza elimu yetu kutatua matatizo.
Hatuhitaji tena elimu inayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.