Recent content by rmbm

  1. R

    Gharama za uhamisho halmashauri ni bei gani?

    Uongo mbaya,nime download nimepitia ila hakuna ninachoelewa, halafu , naomba unisaidie kitu kimoja kwenye barua ya uhamisho jina limeandikwa kimakosa ,lahma badala ya rahma,cha ajabu nakwena halmashauri wananiambia hizo ni herufi tu hazina shida ,usijali,je kwa uelewa wenu haita niletea shida???
  2. R

    Gharama za uhamisho halmashauri ni bei gani?

    Gharama za posho za uhamisho kutoka halmashauri Moja kwenda nyingine ni kiasi gani? Na je halmashauri utokayo hutalipwa chochote? Nazungumzia uhamisho wa serikali
Back
Top Bottom