Jamani kweli Walimu nao wameamua KUMWAGA MBOGA. Malezi ya watoto Je? Mtoto anaandika Matusi kwenye karatasi ya majibu?????????? Wana wazazi kweli? Jamani Vijana hatuaminiki tena siku hizi ndo maana ajira zimekuwa pia ngumu kutokana na elimu zetu za kubrashi. Let us be serious? Wazazi tuepuke...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.