Msomeni huyu mlolokole anatoa historia ya vita vya Israel na Palestina, nakushari tu nakukupa nasaa ukiendelea kubishana na ushabiki mandazi utajipunja vingi sana soma historia huenda una umri mdogo nafunga mjadala na wewe.
Mimi wewe? Naona unatafuta pakutokea umesema sijawahi kulaani
Mauji ya watoto wa Israel yalochinjwa na Hamas na mimi kwa faida yq JF nimekuomba ushahidi wa hayo mauaji ya watoto kama hivi.
https://x.com/suppressednws/status/1783527639673983028?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Weka hata picha au...
Usiletee porojo weka ushahidi hao watoto walioliwa na Hamas yaani unamezeshwa habari na walokole wenzako unaleta JF? JF sehemu ya porojo ukiweka ushahidi acha kulaani najitoa JF.
Siliza mimi siyo mtu porojo wala
Kuokota maneno kwenye vijiwe vya mapuya na kuleta JF. Unajua kama Israel waliwauwa raia wake ?
Kwanini hukuwalaani Hamas walipo uwa watu wakiwemo watoto wasio na hatia kule Israeli
Kwa faida ya JF weka ushahidi wa hao watoto wa Israel walioliwa na mimi...
Hii sio CHINA..🇨🇳 Hii ni AMERICA..🇺🇸
Profesa Emory, Caroline Fohlin anakamatwa kwa jeuri na polisi mahali pake pa kazi…
Huu ni Ufashisti,
https://x.com/resist_05/status/1783676560677142896?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
wewe mlokole wa Maji Matitu mimi nipo JF kila siku angalia nyuzi zangu nimejitokeza wapi wewe kweli bwege hao watoto wa Gaza wanauliwa na nani? Eti mimi wa kwanza wa kwanza kwenye nini kwanza mimi hata sikuhamu ndiyo leo nakusomo halafu mimi na mashoga mbalimbali.
Usijifanye unanijua sana JF siyo sehemu ya porojo na bahati nzuri kuna kila data za member ukileta hizo
Posts unazosema najitoa JF kama usipoleta basi nakuweka kwenye group la mashoga wazee wasiyo jitambua nakupa na jina rasmi Shoga Miittoga.
Nasubiri hizo post
BREAKING: WATU 46 WALIOKAMATWA KATIKA MAANDAMANO YA CHUO KIKUU CHA TEXAS WAFUTULIWA KESI
Ushahidi zaidi hapakuwa na msingi wa kukamatwa.
https://x.com/shaykhsulaiman/status/1783629134125563964?s=46&t=mTROWpaJUT8H393JMgWOvw
Umemezeshwa propaganda unaropoka tu mabwana zako waliambiwa leteni ushahidi au hao wazazzi wa hao watoto mnaosema wachijwa na kubakwa mpaka leo kimya. Usiwe punguania wewe maandamo haya yapo duniani nzima ya wapenda haki siyo wanafunzi wewe endelea kushabikia mabwana zako usiwapangie wengine...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.