Habari,
Jamani mnisaidie kitu kwa Wakazi wa hapa Dar es Salaam, anayejua bei ya Mchanga, Kifusi na Kokoto kwa bei ya fuso na canter ili nikienda kuagiza nisiwe mgeni wa hili
Si unajua ukienda kichwa kichwa maana wananiambia kuna fuso na canter na kila gari lina bei yake
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.