Recent content by rithalisa

  1. R

    Naomba kujua bei ya mchanga, kifusi na kokoto

    Ahaa sawa sawa nitafuatilia hilo fau litanifaa nadhani
  2. R

    Naomba kujua bei ya mchanga, kifusi na kokoto

    Okay, ila wanasema kama unakazi inayohitaj mchanga mwingi ni bora kuagiza gari kwa debe ni hasara
  3. R

    Naomba kujua bei ya mchanga, kifusi na kokoto

    Habari, Jamani mnisaidie kitu kwa Wakazi wa hapa Dar es Salaam, anayejua bei ya Mchanga, Kifusi na Kokoto kwa bei ya fuso na canter ili nikienda kuagiza nisiwe mgeni wa hili Si unajua ukienda kichwa kichwa maana wananiambia kuna fuso na canter na kila gari lina bei yake
Back
Top Bottom