Nashukuru sana MKUU hicho ulicho ongea hapo mwishon niukweli mtupu kwa kweli mm pia Niko radhi Fanya hivyo endapo fulsa nimeipata shida tuuu ntapata wapi ndio mtihan mkuu
Mkuuu kwanza nakushukuru kwa kunitag kiukweli mkuuu namba mbili (2) na (3) ziko vizur mkuuu nimesema Mimi ni kijana nipo tayar kufanya Kaz yoyote ile halali hajalishi kile nilicho somea mkuuu kama kuna fulsa mkuu nisaidie mwenzio
Habari za muda huuu wakuu!
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 24 ninaomba msaaada wenu wa dhati kwa yeyote aliye au anaye fahamu mahali palipo na uhitaji wa vijana wa kazi
Kielimu nimemaliza diploma ya ualimu masomo ya chemistry na biology si mara yangu ya kwanza kuleta uzi huu ila mwanzo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.