Recent content by Ridhiwan36

  1. Ridhiwan36

    SoC03 Thamani ya kijana nchini Tanzania

    Asante, suala la muhimu ni vijana kupewa kipaumbele katika maendelo ya kila nyanja. Credit system inaweza kutumika kutoa points kwa positive activities towards development.
  2. Ridhiwan36

    SoC03 Thamani ya kijana nchini Tanzania

    Tumeaminishwa kwa kipindi kirefu sana juu ya umuhimu wa kijana katika taifa linaloendelea. Tumeambiwa kuwa kijana ni nguvu ya taifa la sasa na lijalo, na kuwa ni juu ya kijana kuendeleza taifa lake. Zaidi ya asilimia 70 ya watanzania ni wa umri chini ya miaka 45, nchi hii imejaaliwa vijana wengi...
Back
Top Bottom