Recent content by RichMwasa

  1. RichMwasa

    Kama ndiyo unaanza uwekezaji, anzia hapa

    Uko sahihi ila kama hauna pesa hii sio kitu Cha kufanya coz ukumbuke pia pesa inashuka thamani Kila siku mfano tsh 10000 ya mwaka 2014 SI sawa na tsh 10000 ya 2024. Best way ya kuwekeza bila kupotezea ni kwenye ardhi au tafuta kampuni ndogo fanya ku bet ili mkue pamoja
  2. RichMwasa

    SoC04 Uwekezaji katika soko la soya

    Tatizo ni kutokuwepo kwa soko la uhakika
Back
Top Bottom