Mkuu labda wewe ndo haujasoma vzr
Hakuna sehemu Scars amesema uhai utuzwe
Amesema miili ya watu iliyokufa ndo inatuzwa
Ili kama dawa ya kifo ikipatikana basi itumike kwenye ile miili
Mkuu kabla ya yote
Roho ni nini??
Nitajuaje kwa ufasaha kwamba hii ni roho na hiii sio roho labda ni kitu kingine ambacho sijakujua??
Unaweza kuthibitisha pasipo na Shaka kwamba Kuna roho??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.