Jamani nina pc yangu ambayo nimepewa na brother yangu na baada ya kuchukua nilifika nyumbani na baada ya muda nikaanza kutumia ila baadaye nilibanwa na shughuli kwa Wiki kama mbili na nilipo kuja kuitumia tena ikawa haiwaki na ikiwaka haioneshi maandishi so inaonesha mwanga mweupe alafu unakata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.