Recent content by Riben

  1. R

    Ninauza Dagaa wa kukaanga

    Well,kama ulimaanisha ile thread za kuku kuna matetea na majogoo. Karibu sana
  2. R

    Ninauza Dagaa wa kukaanga

    Sijakuelewa
  3. R

    Ninauza Dagaa wa kukaanga

    Tuko Dar,Musoma na Mwanza
  4. R

    Ninauza Dagaa wa kukaanga

    Miezi sita na kuendelea wakiwa sehemu kavu salama. Kwa home kama unataka za kuunga nyanya Pia kama una friza unaweza kuandaa kiasi cha mlo mmoja mmoja unfreeze /gandisha ukitaka kupika unatoa na kutia mafuta kidogo then unaunga mboga yako. Karibu
  5. R

    Ninauza Dagaa wa kukaanga

    Tuko Dar, Musoma na Mwanza. Unatumiwa popote. Karibuni sana
  6. R

    Ninauza Dagaa wa kukaanga

    Dagaa waliokaangwa wakiwa wabichi. Kwanini ununue kwetu? *Hawana mchanga wala uchafu *Wamekaangwa wakiwa wabichi hivyo wanaweza kuliwa baada ya kupashwa tu sio lazima kuunga na nyanya. * Wametiwa viungo kwa harufu nzuri * Ni salama sana kwa matumizi ya nyumbani na familia sababu wamekaangiwa...
  7. R

    Samaki wa kukaanga (sato)kutoka Mwanza

    Karibu. Nakufuata PM
  8. R

    Samaki wa kukaanga (sato)kutoka Mwanza

    Amen...asante sana. Karibu
  9. R

    Samaki wa kukaanga (sato)kutoka Mwanza

    Tupo Musoma,Mwanza na Dar. Malipo unafanya baada ya kupokea mzigo kutegemeana na uhakika wa oda yako. Karibu sana
  10. R

    Samaki wa kukaanga (sato)kutoka Mwanza

    Karibu sana
  11. R

    Samaki wa kukaanga (sato)kutoka Mwanza

    Ni wa uzito wa kg 1 wakiwa wabichi. Dar samaki sato kilo 10000. Hawa wanakua wamekaangwa tena fresh kabisa kutoka ziwani na usafiri juu yangu. Karibu
  12. R

    Kuku wa kienyeji pure si chotara

    Unaletewa kuanzia wawili, bei inaanzia 15000-20000. Karibu 0659251217
  13. R

    Kuku wa kienyeji pure si chotara

    Shukrani.Karibu
  14. R

    Samaki wa kukaanga (sato)kutoka Mwanza

    Wamekaangwa wakiwa fresh bila kuwekwa kwenye mabarafu hivyo wana ladha asilia. Karibu kwa oda na utapokea baada ya siku mbili. Tunatuma mikoa yote bei yake kwa samaki wawili wakubwa ni 15000. Mawasiliano kwa simu, meseji au WhatsApp ni 0659251217.
Back
Top Bottom