Miezi sita na kuendelea wakiwa sehemu kavu salama. Kwa home kama unataka za kuunga nyanya Pia kama una friza unaweza kuandaa kiasi cha mlo mmoja mmoja unfreeze /gandisha ukitaka kupika unatoa na kutia mafuta kidogo then unaunga mboga yako. Karibu
Dagaa waliokaangwa wakiwa wabichi.
Kwanini ununue kwetu?
*Hawana mchanga wala uchafu
*Wamekaangwa wakiwa wabichi hivyo wanaweza kuliwa baada ya kupashwa tu sio lazima kuunga na nyanya.
* Wametiwa viungo kwa harufu nzuri
* Ni salama sana kwa matumizi ya nyumbani na familia sababu wamekaangiwa...
Wamekaangwa wakiwa fresh bila kuwekwa kwenye mabarafu hivyo wana ladha asilia. Karibu kwa oda na utapokea baada ya siku mbili. Tunatuma mikoa yote bei yake kwa samaki wawili wakubwa ni 15000.
Mawasiliano kwa simu, meseji au WhatsApp ni 0659251217.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.