Ni kweli serikali ina haja ya kulitizama hili, uchumi kupanda nikuhakikisha Fursa zilizopo wananchi wake wanaeza kuzitumia kiurahisi na kufaidika nazo.
mfano nchi jirana (Kenya) kwenye suala hili wamepiga hatua mpaka Kuna hizo electronic machine za drawing.,
nikiwa nakuunga mkono ndugu yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.