Recent content by reyjo

  1. R

    Kuna unyang'anyi wa kidola unaendelea Tanzania

    MATAGA MAKE TANZANIA GREAT AGAIN KUMBUKENI TUPO VIZURI
  2. R

    Kuna unyang'anyi wa kidola unaendelea Tanzania

    Huyo unae mwita kiranja ni kiongozi mkuu wa nchi na kwa taarifa yako Urais ni taasisi yenye watu wengi kwa hiyo anapewa ushauri na anafanyia kazi.Nawashangaa sana watu wanasema Rais apokei ushauri si kweli hakuna kiongozi anaeweza kuongoza nchi bila kushauriana na wasaidizi wake pamoja na...
  3. R

    Kuna unyang'anyi wa kidola unaendelea Tanzania

    Tuache kuleta taarifa za kusikia ambazo hazina ukweli wowote na tunataka kuaminisha umma kuwa serikali inachukua pesa za watu kwa nguvu.Naomba tuache uzushi na uongozi huo.hili ni swala nyeti sana si busara hata kidogo.TUACHE UZUSHI USIO NA MAANA HII NCHI NI YETU WOTE IKIHARIBIKA SOTE TUTAUMIA
  4. R

    GE2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

    Sina hakika kama Hao Marais waislamu walikuwa ni suni au shia
  5. R

    GE2020 Urais 2020, CCM twende na Benard Membe. Mwanadiplomasia nguli wa kuivusha Tanzania

    Kwa heshima na taadhima napenda kuwakilisha mawazo yangu juu ya huu mjadala unaoendelea kati ya wanaotamani membe awe mgombea 2020 na wale wasiotaka kusikia hata kidogo kuhusu wazo hilo.nchi yetu tangu tupate uhuru imetawaliwa na Chama kimoja na Chama hicho kimejiwekea utaratibu wa kuheshimu...
  6. R

    Chahali usipotoshe, Dkt. Kipilimba hajawahi kuwa chaguo la Membe kwa Magufuli

    Ni miongoni mwa viongozi waadilifu waliowahi kuongoza TISS.
  7. R

    Chahali usipotoshe, Dkt. Kipilimba hajawahi kuwa chaguo la Membe kwa Magufuli

    Hongera sana umeeleza vizuri sana.napenda kumwomba chahali asipende kutumiwa na watu kumchafua Dr kapilimba ni mtu mwaminifu, mwadilifu na mcha Mungu.
  8. R

    Tundu Lissu: Kwa mara nyingine tena Rais Magufuli ametoa kauli yenye ukakasi mkubwa kwa Uhuru wa Mahakama

    Kuna tofauti kubwa kati ya Lissu na Mh Rais.lissu akimtuhumu Jaji wala haina madhara lakini Mh Rais akimtuhumu Jaji hapo kuna tatizo na uzito tofauti
  9. R

    Chadema: Freeman Mbowe baada ya kupata matibabu Afrika Kusini na kupata nafuu ameelekea Ubelgiji kumuona Tundu Lissu

    Ndg yangu hujafa hujaumbika,wewe unamwita mwenzio kilema wakati unajua lililotokea.sasa wewe utakuwa kiwete kabisa na kwa kuwa umetamka kwa dharau wewe itakuwa kweli ndipo utakapotambua kuwa usimdhihaki mwenzio kwa kutumia Hali yake.
  10. R

    Serikali: Kampeni ya kupambana na Ushoga ya RC Makonda sio msimamo wa nchi

    Makonda ni tatizo kubwa katika taifa.kila zoezi analolianzisha limekuwa ni tatizo kwa nchi nzima.Kwa nini ni makonda kila wakati na kila zoezi serikali imetumia nguvu kubwa sana kuzima ili tu kuleta Amani. Nafikiri ni wakati muafaka kwa serikali kufanya uamuzi makini kumweka kando ili kuondoa...
  11. R

    Rais Magufuli: Sitatenga hela ya Katiba Mpya ili watu waende Bungeni kula; wala sikuinadi kwenye kampeni

    Naomba kuuliza swali naomba nijibiwe na wanaofahamu.Je pesa za bunge la katiba zinatengwa na Mh Rais au bunge.
  12. R

    Maswali tata kuhusu utekwaji na upatikanaji wa Mohamed Dewji MO

    Zito na Lema waliomba mo arudishwe, sasa amerudishwa unataka waseme nini.mimi naona kelele zao zimezaa matunda kwa hiyo wanapaswa kutulia
  13. R

    Mohamed Dewji (MO) aliyepotea, apatikana. Amerudi nyumbani akiwa salama

    Hilo si la msingi.muhimu amerudi nyumbani salama bila madhara
  14. R

    Dar: Mfanyabiashara Mohamed Dewji(Mo Dewji) atekwa na watu wasiojulikana maeneo ya Oysterbay

    Naomba tuache kabisa kuhusisha serikali na mambo ambayo si kweli.kuna ujambazi na uharamia mkubwa unafanyika nchini kila siku hivi ni kweli serikali ndio inahusika, hapana si kweli.tukio la kutekwa MO ni tukio lililopangwa na watu wabaya sio serikali.Mo ni mfanyabiashara inawezekana kabisa akawa...
  15. R

    RPC Olomi aliyesimamishwa kazi Kagera ni nani ?

    Hakuna tatizo wala hakuna sheria inayozuia Mh Rais kusimamisha RPC.kwanza naomba ifahamike kuwa Mh Rais ndiye amiri jeshi mkuu wa majeshi yote,kwa sababu hiyo yeye ndio kiongozi mkuu wa majeshi yote.pili yeye ndiye mwenye mamlaka yasiyo na kizuizi chochote maana ndio mkuu wa nchi.kwa sababu hiyo...
Back
Top Bottom