Habari,
Nimemaliza chuo mwaka huu. Kwa sasa nipo Dar es Salaam, nimesoma Bachelor of Science in Taxation chuo IFM. Nina uwezo mzuri katika kutumia Microsoft Office kama Excel.
Pia nimewahi kufanya kazi stationery, kuandaa kazi mbalimbali kama TIN number registration, HESLB application, Rita...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.