Recent content by Retailer

  1. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    bado ipo. mazungumzo yapo, karibu.
  2. Retailer

    Roho inauma, nimetimuliwa nyumbani kwa fedheha

    Though ni maelezo ya upande mmoja, Best revenge is massive success.
  3. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    Hahaa..Anataka kuhujumu uchumi mkuu.
  4. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    Mkuu, Boya halifanyi kazi . Dashboard inaonyesha taa ikiwaka, indicators zikiwashwa na ikiwa free
  5. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    Hapo kweli kabisa, nimeelewa sasa.
  6. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    Mkuu msemo una maana gani?
  7. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    Kwa Laki nne haitawezekana.
  8. Retailer

    INAUZWA Pikipiki Used, Boxer (BM 150cc) inauzwa Tshs 950,000

    Wakati mwingine plate namba haiakisi hali ya ubora wa chombo bali matunzo. Hii pikipiki sikua na wazo la kuuza. Ni vile tu kuna mambo kadhaa yamenibana. Sipati faida kwa kuuza 950,000 Maana nimeifanyia maintanance vizuri. Vitu vingi ni vipya mfano Seat, Mashavu, piston, break ya mbele, mkono wa...
Back
Top Bottom