Recent content by RepedyJ

  1. RepedyJ

    Natafuta Udhamini wa masomo

    ok,kwanza hongera,ushauri wangu nikutambua kila m2 mungu ana namna ya kumtoa ktka kila hali yoyote ile,omba na jaribu kutafta scholarships maana kuna baathi ya w2 uk wafwatilia utaweza kukubaliana nao,na zaidi usiwe na woga ,kama kuna SHIRIKA amblo lna weza toa msaada ,i advce u 2go and talk 2...
  2. RepedyJ

    tcu

    Jaman how are you, ukishalipa(50,000/= TCU CAS kwa ajil ya kuomba vyuo) kuna vocha unapewa mimi najaribu kuitumia bila mafanikio na marafiki wanasema wametumia namba ya uthibitsho, vipi wakuu inakuwaje?
Back
Top Bottom