Pata rasta kwa bei ya punguzo ya shilling elfu moja moja tu(1000)kwa pisi moja.Na wiving kwa bei ya punguzo sh 8000 na mengine 10000 tu.Unaletewa popote kwa dar na mikoani unatumiwa.Piga 0687 836002
Wadau ninafunga duka,nauza rasta na wivings zilizobaki kwa bei ya punguzo.
Rasta aina zote bei ya 1000(elfu moja tu} kwa pic moja
wiving zipo za kuanzia 8000(elfu nane) mpaka 10000(elfu kumi) wateja wa jumla tuwasiliane kwa 0687 836002.Mkoani utatumiwa pia.WATEJA WA KUANZIA DOZENI MOJA.
Habari wadau,
Naomba mwenye ujuzi wa biashara ya kutengeneza sabuni za miche anisaidie,natamani kufanya biashara hii naomba mwenye kuifahamu anisaidie mwangaza kidogo.Mahali yanapopatikana malighafi ,bei za malighafi izo,upatikanaji wa vifaa vya kutengenezea,changamoto na faida zake.
Asanteni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.