Tecno Y4 Nimezoea nikibonyeza kwenye screen inatoa mwanga ila Jana charge iliisha kabisa nikaiweka niicharge ila nilipobonyeza kwenye screen haitoi mwanga mpka nininyeze kwenye batani zake za pemben.
Nini tatizo nisaidien wataalam
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani naombeni ushauri Nina mafua makali sasa no mwaka wa 9 nimetumia dawa za hospital lakn bado dawa za mitishamba nimetumia lkn bado naangaika. Kuna MTU kama anajua utatuzi wa hili tatizo anambie
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu kanipa leo namba ya simu ya mtu anayeuza machine hizo. Anaitwa Emma macherehani nilimpigia akanambia anayo na ni laki 9, yupp kariakoo. Mmhhh hela ndefu ngoja nipambane
Sent using Jamii Forums mobile app
Jamani ninaomba kuuliza hivi kuna mashine za kufumia vitambaa vya makochi/nyuzi au masweta? Mimi nashida nayo napata tenda nyingi ila siwezi kufuma kwa wakati kama kuna mtu anajua aniambie na sehemu zinapopatikana. Asanteni
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.