Recent content by regan bonge

  1. R

    wadau mm naombeni msaada kuhusu maswala ya Helsb...

    Nakushukuru sana kk kwa ushauri wako nmeufanyia kazi na nimefanikiwa
  2. R

    wadau mm naombeni msaada kuhusu maswala ya Helsb...

    Ndugu thank very much for ur advice maana nmeufanyia kaz na nimefanikiwa
  3. R

    Heslb ukombozi tenaa

    hii inakuwaje ni ya continous students ambao hawakuomba mkopo? au ni wale wa first year tu????
  4. R

    wadau mm naombeni msaada kuhusu maswala ya Helsb...

    Yaan mwanzon nlifikiri npo sahihi lakin ni kwel nilikosea kwani form yangu umetofautiana na za wengne walioupdate so inaonekana kama nilishia njian..bt kwa hapo naweza pata msaada au ndo nianze kuandika barua ya kupostpon mwaka tu??
  5. R

    wadau mm naombeni msaada kuhusu maswala ya Helsb...

    Asante sana ndugu nitafanya hivyo.
  6. R

    wadau mm naombeni msaada kuhusu maswala ya Helsb...

    mm ni continious student nko mwaka wa pili. nliomba mkopo ile first year nikawa nmepata bt wakati wa kuapdate mkopo kuingia mwaka wa pili nliapdate toka ule mwez wa 5 bt Juz kati hivi kna majina yaliyotolewa na bodi ya wanafunz ambao hawakuapdate (hawakuomba mkopo) kwa continous students..afu...
Back
Top Bottom