Sasa unasema Kila wakati sio nyama sio nyama Sasa si useme labda kama wewe unaona kipande Cha tofali hapo au kipande Cha mti sema tu Haina shida
Namaliza mada kama ifuatavyo
Embryo ni pande la nyama na process inayofuata Baada ya hapo hizo nyama kujigawa kutengeneza organs mbali mbali na...
Wewe ndio unasema hakuna lakini michoro ya Biology inaonyesha hapo Kuna pande la damu na pande la nyama au we unaona Nini hapo
Sio lazima ukubali maana wewe ni kafiri ukikubali utakuwa umetoka katika sifa yako ya ukafiri
By the way wewe Sasa ni kama ubao wagalatia wenzako wanasoma na...
Swali nililokuliza na majibu uliyotoa hata wagalatia wenzako wanakushangaa
Hakuna kafiri yoyote katika Dunia hii anayeweza kuthibitisha kuwa Qurani imesema uongo
Sasa nakuonyesha ukilaza wako kupitia Qurani na hivyo vitabu vyako vya Biology ulivyoandikiwa na wazungu vyote vinathibishi kuwa...
Mbona unaruka ruka wakati haya maswali ni marahisi sana au wewe ni kilaza
Unataka kuniambia Zygote na Embryo hazina shape Wala rangi?
Jibu haya maswali kabla google haijathibisha ukilaza wako
Jibu maswali yafuatayo
1) ZYGOTE
a) ukiangalia Kwa macha ya kawaida Ina umbo gani na rangi gani...
Nilidhani umeshaelewa kumbe bado haujaelewa
Jibu maswali yafuatayo
1) ZYGOTE
a) ukiangalia Kwa macha ya kawaida Ina umbo gani na rangi gani?
b) ukiiangalia Kwa Darubini ikoje na utaona vitu gani?
Ili uwathibitishie wagalatia wenzako kuwa Quran iliposema ukiiangalia utaona pande la damu kuwa...
Umeshaelewa tayari ila Sasa kinachokusumbua ni ukafiri ulio nao maana sifa kubwa ya kafiri ni kupinga maandiko ya Allah
Na sijawahi kumfundisha kafiri asielewe wewe ndio ungekuwa wa kwanza
By the way
Qurani ni kitabu Cha kiimani na mawaidha Kwa waislam yanayotoka Kwa Mungu muumba mbingu na...
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
1)MANII KUWA PANDE LA DAMU
A zygote is a...
Utaelewa tu angalia picha Kisha jibu maswali
Ukiangalia hapo Baada ya sperm kuingia katika ovum hapo unaona Nini sio madonge hayo yalioganda?
Au wewe unaona hapo Kuna kimiminika?
Tokea LIni kimiminika kikawa. Na umbo la yai?
Acha uongo wewe biology gani inayosema katika fertilization process haipitii stage ya kuwa donge la damu na donge la nyama
Sijui mnazungumzia Nini mmeshaona mimba zinazoharibika chini ya miezi 3?
Unachekesha sana pande la nyama kuwa mifupa umeshaelewa
Sasa umerukia katika swali lingine hili ndio swali rahisi kuliko yote
Mani kuwa pande damu iliyoganda
Ni Kwa sabu hiyo damu haipo katika Hali ya kimiminika Yani hata kama hilo donge la damu utalitoa sehemu Moja na kulipeleka sehemu...
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
1) Manii kuwa pande la damu
2) pande la...
Quran 23:14 -
Kisha tukaiumba tone kuwa damu iliyo ganda, na tukaiumba damu kuwa pande la nyama, kisha tukaliumba pande la nyama kuwa mifupa, na mifupa tukaivika nyama. Kisha tukamfanya kiumbe mwengine. Basi ametukuka Mwenyezi Mungu Mbora wa waumbaji.
Hii ndio Aya uliyoitoa tatizo lako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.