Kwa mfano now Mimi nakaa nyumbani kwa kina mshikaji wangu mwezi wa sita saizi. Najichanga pesa ikifika laki mbili au tatu nikitaka kupanga roho inagoma,
Nawaza, Hivi itakuwaje nipo Geto halafu mazingira ya kupata pesa yakawa magumu, maana kazi zetu hazieleweki.
Nawaza maana siwezi kurudi home...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.