Mi nmepata kitu kipya mda sio mrefu, namba ya mdhamin ambayo nliijaza kwenye fomu ya bodi ya mikopo imeingia sms inayosomeka "Benki ya CRDB Tawi la UDOM inakupongeza kwa kupata nafasi ya kujiunga na chuo kikuu cha Dodoma. Tunakutakia masomo mema katika kipindi chote utakapokua 'some text...
Mi nxhaanza kua na wasiwasi juu ya mkopo kwa diploma ya ualimu chuo kikuu cha dodoma, hivi inawezekana bodi ya mikopo wametusahau au?
Sababu mi bado cjajua unawezaje kurpot chuoni wakati bodi ya mikopo hawajatoa pesaaaa? Ebu mwenye taarfa mpya anijulxhe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.