Kishombo, mzee Mohamed salim(Ratco) ni rafiki yake mzee shabiby kwahiyo kaampa ushauri tu ya kuleta mabasi na hakushare. Na mfunguzi wa hayo mabasi ni Riziwany. Mali hajagawana na mtu yeyote mali ni zake mabasi ni yake na kampuni ni yake!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
The Fixer idea sio ya Riziwani ni ya Mzee Shabiby mmiliki wa mabasi ya shabiby na ufunguzi ni kweli alifungua Riziwani
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Siti 12 V.I.P itakuwa ni shilingi 35000TZS. Na siti za kawaida zipo kama 30 kama sikosei na bei yake ni kawaida ni 18000TZS. Na itakua Dar-Arusha-Tanga na Tanga-Arusha-Dar. Huduma za V.I.P ni kama ifuatavyo, punde ukiinngia tu kkwenye basi utapewa kinywaji ambacho itakua ni Juisi halafu...
Ndio Amla Gemela ndie, na asante. Na nisawa alivyosema huyo ndugu hapo juu kwamba Ratco ni Kampuni ya zamani lakini hawagawani mali, Mali hiyo ni ya mtu mmoja tu. Kuna magari mawili mapya yataingia hivi karibuni Tanzania, itakua ni 2 by 1 V.I.P.
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Niliamua kumtambulisha kwa sababu, watu wakidhani ni Riziwani ndie mmiliki wa mabasi hayo na bado mpaka hivi sasa sijajua ni kwanini munasema Riziwan??? Hilo bado ni swali langu
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Nadhani unajua kilichomtokea mzee Saad Said(Home shopping centre) so sitaki yamtokee mzee wangu, kama unataka amini au usiamini!!!
Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.