Ndio nashindwa kuwaelewa hawa viongozi wetu wa dini. These are natural laws. Kwenye tectonic plates wenzetu huwa wanaweka sensors za kuashiri tetemeko ili watu waondoke japo si zote zinakuwa effective. Sasa tetemeko la ardhi utalizuia kwa maombi na kufunga au kulikemea kwa jina la Yesu? Jamani...
Mambo ya ajabu kabisa. Ni kama mtu anapanda mbegu ya mchicha leo halafu anaomba na kufunga ile mbegu iote mti wa mparachichi. Mungu/nature hana muda na upuuzi huo. The genetical code is already written in the seed. Sasa wewe unafunga na kukesha Mungu abolished genetically code iwe ya mmea...
Tutumie talanta zetu alizotupa Mungu vizuri. Tusiwe kama yule mtumishi kwenye Biblia amaye alipewa talanta bdala ya kuifanyia kazi akaichimbia kwenye vumbi. Badala ya kwenda kwenye mkesha tutumie talanta/akili Mungu alizotujalia labda kila mtu ashike jembe halafu wataalamu wa mambo ya maji...
Asante. Sasa ndio nauliza hizi akili zinatupeleka wapi ? It is a natural phenomenon. Limeanzia huko bahari ya Pasifiki. Ni sheria ambayo code ya Mungu/ nature imeiandika. Yeye ametaka iwe hivyo. Sasa tuanze tena kuomba na kufunga ili Mungu aiandike upya code yake. Jamani ! Hii ni fursa Mungu...
Asante sana kwa mchango wako. Lakini nina swali ambalo hakuna aliyenijibu mpaka sasa. ROHO NI NINI? Maana unaposema mambo ya kiroho lazima kwanza utuambie roho ni nini. IS A SPIRIT AN IMMATERIAL OR AN ABSTRACT IDEA THAT HIMANS THEMSELVES HAVE INVETED? Roho ni kitu gani? Maana ukisema ni...
Sawa. Tutumie hii fursa kuvuna maji ya kutosha . Kama mtu amejenga huko mabondeni asiende kwenye maombi ya kumuomba Mungu maji yasizoe nyumba yake. MUNGU HANA MUDA NA WATU WAPUMBAVU. Nyumba yako itsombwa na maji hata kama umekesha na kufunga. God/nature's laws/codes are eternal. Usitake ujinga...
Nimewasikia baadhi ya viongozi wa dini wakiandaa maombi ili Mungu aepushe madhara ya mvua kubwa zinazotarajiwa kuanza mwezi Oktoba. Kwa nini tusimshukuru Mungu kwa neema hii na tujenge miundombinu bora na tuvune maji ya kutosha kuepuka uhaba wa maji na kufanya kilimo cha umwagiliaji kipindi cha...
Amenipigia jana nikamwambia nipigie kwa namba 100 akasema kuna tatizo la kimtandao ndiyo maana anatumia private number!! Anasema kuna mteja amekosea namba amenitumia milioni moja na laki sita kwahiyo ametuma malalamiko vodacom nimrudishie pesa zake!!!! Nimemuambia magereza inamhusu maana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.