Recent content by raslimali

  1. R

    Pongezi kwa waliopaza sauti kupitia JF kuhusu anajiita "Kiboko ya Wachawi"

    Vituo vya redio vinavyorusha huu upuuzi serikali ivimulike na kuvifunga. Tunajenga taifa la mataahira kwa uchu wa pesa wa matapeli. Wenzetu wanadanya mambo ya maana sisi tunabaki mpaka kuagiza toothpick na yeboyebo wakati malighafi za kutengeneza vitu hivyo tunazo. Kazi yetu kwenda usiku kucha...
  2. R

    Pongezi kwa waliopaza sauti kupitia JF kuhusu anajiita "Kiboko ya Wachawi"

    Vipo vituo vingine vinarusha matangazo ya aina hiyo hata ya waganga wa kienyeji na shuhuda zao feki. Tunalipotosha taifa na kurudisha nyuma maendeleo kwa kuendekeza huu upumbavu kwa kisingizio cha uhuru wa imani.
  3. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Hata kwenye utapeli wa mtandaoni watu huingia kwa imani. Basi nao wasishughulikiwe
  4. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Basi na hawa matapeli wa mtandaoni waachwe tu waendelee kutapeli maana huko nako watu wanajipeleka wenyewe hakuna anayewalazimisha. Nonsense!
  5. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Siyo kila anayejiita nabii na anahubiri jina la Yesu ni mkristo. Ukristo una principles zake. Ndiyo maana Yesu alisema siku ya mwisho kuna watu atawakataa lakini watamjibu walifanya miujiza kwa jina lake lakini ajibu SIWAJUI. Miujiza SI KIGEZO CHA UKRISTO au kwamba mtu ameitwa/ametumwa na MUNGU...
  6. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Siyo kila anayejiita nabii na anahubiri jina la Yesu ni mkristo. Ukristo una principles zake. Ndiyo maana Yesu alisema siku ya mwisho kuna watu atawakataa lakini watamjibu walifanya miujiza kwa jina lake lakini ajibu SIWAJUI. Miujiza SI KIGEZO CHA UKRISTO au kwamba mtu ameitwa/ametumwa na MUNGU.
  7. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Wana akili walendio maana wameendelea maana wanajua maendeleo yanapatikana kwa kufanya kazi siyo uwakusanye watu uwauzie maneno matupu na mafuta ya upako.
  8. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Hivi vituo vya redio siku hizi basi tu....... Sidhani kama kama RTD ya enzi zetu ingeweza kurusha upuuzi kama huu. Siku hizi wanajali pesa tu. Hakuna content za maana ni porojo na kuchezesha kamari tu
  9. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Mbona hata wanaotapeliwa mitaani au mitandaoni wanatoa pesa kwa hiari yao wenyewe lakini utapeli wa mtandaoni unahesabika ni kosa na ukikamatwa utafikishwa mahakamani. Iweje hawa wanaoibia watu mchana kweupe kwa jina la dini wasiwe na hatia?
  10. R

    DOKEZO Serikali chukueni hatua za haraka dhidi ya Nabii Dominiki "Kiboko ya Wachawi"

    Hizo simu unazosikia ni feki. Ni watu wake amewapanga. Hata Arusha kuna redio nimeishitukia kuna mganga ana kipindi basi watu wanapiga simu kumshukuru kwamba walienda kwake matatizo yao yakatatuliwa. Ukichunguza utaona sauti ni zilezile kila siku! Nashindwa kuelewe kilicho nyuma ya hivi vituo...
  11. R

    Huduma za mitume na manabii zinapingwa sana na wachungaji kuliko waumini :Uchunguzi unaoendelea

    Ni kwa sababu asilimia kubwa ya hawa wanaojiita manabii si manabii, achilia mbali kwamba si wakristo vilevile. Ukristo wa kweli una principles zake. Hao wana lebo ya ukristo but in actual sense si wakristo. Ni kama kuchukua chupa tupu ya kinywaji fulani ukajaza maji yenye rangi inayofanana na...
  12. R

    Huduma za mitume na manabii zinapingwa sana na wachungaji kuliko waumini :Uchunguzi unaoendelea

    Swali lako namba (3): Hakuna huduma iliyo bora kuliko nyingine. Biblia iko wazi kuhusu hilo. Mtume Paulo alifundisha wazi kwa mfano mwili wote ungekuwa jicho, kuwapi kunusa? Au mwili wote ungekuwa kichwa ungetembeaje? Viungo vyote hutegemeana. Hakuna kilicho bora kuliko kingine. Ila sasa kuna...
  13. R

    Tumetoka kusali jumuiya kwa Baba ambae ni Mkatoliki na Mama ni msabato. Kiukweli kipengele cha kuangalia dini kwenye mahusiano ni cha muhimu sana

    Ninavyojua kanisa katoliki halifungishi ndoa ya mseto kati ya mkatoliki na msabato au shahidi wa Yehova. Madhehebu mengine ruksa pia imani zingine kama uislamu ruksa ila sharti ni kwamba watoto wafuate imani katoliki. Usabato na Mashahidi ya Yehova huhesabiwa kama imani zisizo za kikristo na...
Back
Top Bottom