Vituo vya redio vinavyorusha huu upuuzi serikali ivimulike na kuvifunga. Tunajenga taifa la mataahira kwa uchu wa pesa wa matapeli. Wenzetu wanadanya mambo ya maana sisi tunabaki mpaka kuagiza toothpick na yeboyebo wakati malighafi za kutengeneza vitu hivyo tunazo. Kazi yetu kwenda usiku kucha...
Vipo vituo vingine vinarusha matangazo ya aina hiyo hata ya waganga wa kienyeji na shuhuda zao feki. Tunalipotosha taifa na kurudisha nyuma maendeleo kwa kuendekeza huu upumbavu kwa kisingizio cha uhuru wa imani.
Siyo kila anayejiita nabii na anahubiri jina la Yesu ni mkristo. Ukristo una principles zake. Ndiyo maana Yesu alisema siku ya mwisho kuna watu atawakataa lakini watamjibu walifanya miujiza kwa jina lake lakini ajibu SIWAJUI. Miujiza SI KIGEZO CHA UKRISTO au kwamba mtu ameitwa/ametumwa na MUNGU...
Siyo kila anayejiita nabii na anahubiri jina la Yesu ni mkristo. Ukristo una principles zake. Ndiyo maana Yesu alisema siku ya mwisho kuna watu atawakataa lakini watamjibu walifanya miujiza kwa jina lake lakini ajibu SIWAJUI. Miujiza SI KIGEZO CHA UKRISTO au kwamba mtu ameitwa/ametumwa na MUNGU.
Wana akili walendio maana wameendelea maana wanajua maendeleo yanapatikana kwa kufanya kazi siyo uwakusanye watu uwauzie maneno matupu na mafuta ya upako.
Hivi vituo vya redio siku hizi basi tu.......
Sidhani kama kama RTD ya enzi zetu ingeweza kurusha upuuzi kama huu. Siku hizi wanajali pesa tu. Hakuna content za maana ni porojo na kuchezesha kamari tu
Mbona hata wanaotapeliwa mitaani au mitandaoni wanatoa pesa kwa hiari yao wenyewe lakini utapeli wa mtandaoni unahesabika ni kosa na ukikamatwa utafikishwa mahakamani. Iweje hawa wanaoibia watu mchana kweupe kwa jina la dini wasiwe na hatia?
Hizo simu unazosikia ni feki. Ni watu wake amewapanga. Hata Arusha kuna redio nimeishitukia kuna mganga ana kipindi basi watu wanapiga simu kumshukuru kwamba walienda kwake matatizo yao yakatatuliwa. Ukichunguza utaona sauti ni zilezile kila siku! Nashindwa kuelewe kilicho nyuma ya hivi vituo...
Ni kwa sababu asilimia kubwa ya hawa wanaojiita manabii si manabii, achilia mbali kwamba si wakristo vilevile. Ukristo wa kweli una principles zake. Hao wana lebo ya ukristo but in actual sense si wakristo. Ni kama kuchukua chupa tupu ya kinywaji fulani ukajaza maji yenye rangi inayofanana na...
Swali lako namba (3): Hakuna huduma iliyo bora kuliko nyingine. Biblia iko wazi kuhusu hilo. Mtume Paulo alifundisha wazi kwa mfano mwili wote ungekuwa jicho, kuwapi kunusa? Au mwili wote ungekuwa kichwa ungetembeaje? Viungo vyote hutegemeana. Hakuna kilicho bora kuliko kingine. Ila sasa kuna...
Ninavyojua kanisa katoliki halifungishi ndoa ya mseto kati ya mkatoliki na msabato au shahidi wa Yehova. Madhehebu mengine ruksa pia imani zingine kama uislamu ruksa ila sharti ni kwamba watoto wafuate imani katoliki. Usabato na Mashahidi ya Yehova huhesabiwa kama imani zisizo za kikristo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.