Recent content by raslimali

  1. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Gharama ni za huyo daktari. Imethibitishwa na mamlaka za serikali( TFDA,TBS)??
  2. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Asante mkuu. Mimi si mbinafsi. Nimejaribu dawa nyingi sana kwa ajili ya wagonjwa kwenye familia yangu na marafiki lakini hakuna iliyofaa. Na kila tabibu niliyemwambia atoe dawa kwanza mgonjwa akipona nitamlipa mara tano ya ile bei yake alikataa. At the end of the day dawa zile hazikuponya. Ndio...
  3. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Haya mkuu. Thanks for your insights. Tupo hapa kupeana mawazo na kupanua fikra.
  4. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Kweli nadhani kwenye zile information huwa hawaweki ukweli wote.
  5. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Umemjibu vema. Mara nyingi mtu anayeuza dawa magumashi ndio anataka hata sampo ulipie!
  6. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Gharama za kusafirisha atalipa yeye. Nakutumia email kwa PM
  7. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Kampuni za wenzetu zina bajeti ya kutuma free samples watu wajaribu products zao kabla ya kununua. Huku kwetu unaambiwa uamini tu anachosema mtengenezaji na ulipe!! Kisippkufaa utajua mwenyewe.
  8. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Siumwi mimi ila daktari mjerumani specialist wa kisukari alinipa hili swali ili kuhakiki kama kweli Africa tuna tiba ya kisukari.
  9. R

    Kwanini ishara, maajabu na miujiza mikubwa inafanywa na watu wanaoiamini Biblia tu?

    Siyo imani, ni kupumbaza akili za watu. Ukifika huko unahubiriwa habari za utoaji kwa asilimia 90. Tangazo linasema hakuna kiingilio lakini ukifika huko ndio utajua kumbe kuna kiingilio. Mahubiri ya kipumbavu yanayolenga kuwajenga watu kisaikollojia wampe mhubiri pesa zao. Then watakuja na...
  10. R

    Mwenye dawa ya Kisukari ambaye yupo tayari kutuma sampo Ujerumani tuwasiliane

    Nimewasiliana na Watabibu wengi wanaodai wana dawa za kuponya Kisukari (diabetes) lakini kila ninayemuomba atume sampo au dozi ya mgonjwa mmoja tuone kweli kama inafanya kazi wanataka ilipiwe kwanza. Kama kuna tabibu anayetibu kwa hakika kisukari cha type zote na yuko tayari kutuma dozi moja...
  11. R

    Hivi ndivyo hali itakavyokuwa Yesu atakapokuja! Ni mshikemshike!

    Sidhani kama tunaelewana kuhusu ujio wa pili wa Yesu. Kwani Yesu alienda huko alipokwenda akiwa na mwili wa nyama,mifupa na damu? Atarudi kwa namna ipi? Maana kuna watu wana hekaya za unyakuo (rapture) na cinema za watu wanapaishwa angani!!! Hadithi za kijinga hizi kwa kusoma biblia bila kuelewa...
Back
Top Bottom