Asante mkuu. Mimi si mbinafsi. Nimejaribu dawa nyingi sana kwa ajili ya wagonjwa kwenye familia yangu na marafiki lakini hakuna iliyofaa. Na kila tabibu niliyemwambia atoe dawa kwanza mgonjwa akipona nitamlipa mara tano ya ile bei yake alikataa. At the end of the day dawa zile hazikuponya. Ndio...
Kampuni za wenzetu zina bajeti ya kutuma free samples watu wajaribu products zao kabla ya kununua. Huku kwetu unaambiwa uamini tu anachosema mtengenezaji na ulipe!! Kisippkufaa utajua mwenyewe.
Siyo imani, ni kupumbaza akili za watu. Ukifika huko unahubiriwa habari za utoaji kwa asilimia 90. Tangazo linasema hakuna kiingilio lakini ukifika huko ndio utajua kumbe kuna kiingilio. Mahubiri ya kipumbavu yanayolenga kuwajenga watu kisaikollojia wampe mhubiri pesa zao. Then watakuja na...
Nimewasiliana na Watabibu wengi wanaodai wana dawa za kuponya Kisukari (diabetes) lakini kila ninayemuomba atume sampo au dozi ya mgonjwa mmoja tuone kweli kama inafanya kazi wanataka ilipiwe kwanza. Kama kuna tabibu anayetibu kwa hakika kisukari cha type zote na yuko tayari kutuma dozi moja...
Sidhani kama tunaelewana kuhusu ujio wa pili wa Yesu. Kwani Yesu alienda huko alipokwenda akiwa na mwili wa nyama,mifupa na damu? Atarudi kwa namna ipi? Maana kuna watu wana hekaya za unyakuo (rapture) na cinema za watu wanapaishwa angani!!! Hadithi za kijinga hizi kwa kusoma biblia bila kuelewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.