Kuna madhehebu zaidi ya elfu 40 ya kikristo na kila dhehebu linadai kuongozwa na roho mtakatifu! Mimi nimejiweka kando na madhehebu. Kila dhehebu lina roho wake mwenyewe!!
Neno halisi la Kigiriki Biblos lina maana ya maktaba au mkusanyiko wa vitabu. Ni watu walikaa chini na mkusanyiko wa vitabu vingi wakachagua vile ambavyo vilikuwa vinaendana na failsafe na teolojia zao wakasema hivyo ndivyo vilivyovuviwa na Roho Mtakatifu. Vile visivyoendana na mawazo yao...
Kati ya kufungiwa kwenye chumba ukae humo mpaka ufe au utundikwe kwenye kamba,au uchomwe sindano yenye kemikali za sumu au upitishiwe umeme wa msongo mkubwa kwenye mwili wako ufe instantly, ipi kati ya hizi ni adhabu kubwa kwa serious crimes?
Najiuliza hakuna namna ya kufanya matengenezo kwa awamu ili basi Tanesco mkate umeme walau kwa saa nne na siku inayofuata mkafanya tena hivyo?
Hamjui au ni kwamba hamjali kwamba kuna watu ambao maisha yao hutegemea kipato cha kila siku kwa mfano kibarua anayefanya kwenye welding au kinyozi...
Ndio akili ya mwafrika ilipofikia hapo. Tutabaki nyuma na kuwa watu wa kudharaulika tu. Wenzetu wanatumia vizuri akili sisi tunafukia akili kwenye mavumbi tunakimbizana kwenda makanisani kuomba miujiiza. Hizi teknolojia tunazotumia wenzetu waliomba miujiza au walijua Mungu amewapa akili so it is...
Labda kwa ufupi. Kabla ya Nicea Council imani juu ya Yesu haikuwa unified. Kila mtu na lwake. Baadae tena kukatokea mgawanyiko ndio hayo madhehebu unayoyaona leo.
666 inaeleweka vizuri tu ukisoma Ufunuo wa Yohana kwenye lugha yake asili ,Kigiriki. Walioandikiwa walielewa vizuri sana ni nani huyo. Sasa wakristo wa leo na wanateolojia wanahangaika na tafsiri za hovyo as if kitabu hicho waliandikiwa wao. What a pity!
Ukristo ulikuwa fragmented tangu mwanzo. Madhehebu yalikuwa mengi. . Mfalme Connstantine alipotaka kuufanya kuwa dini ya Roman Empire ili kupata political stability aliona itakuwa ngumu if there was no uniform doctrine of faith. Akawaita maaskofu mia tatu kupiga kura kwamba ipi iwe official...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.