Recent content by raslimali

  1. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Kuna madhehebu zaidi ya elfu 40 ya kikristo na kila dhehebu linadai kuongozwa na roho mtakatifu! Mimi nimejiweka kando na madhehebu. Kila dhehebu lina roho wake mwenyewe!!
  2. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Kuna historia na hekaya. Tuelewane vizuri
  3. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Asante. Huyo anayepinga hata hicho Kigiriki anakijua basi?? Watu wamelishwa imani bila akili.
  4. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Imani bila reasoning ni upumbavu.
  5. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Soma historia ujue mila na desturi za wayahudi usiongozwe na mihemuko ya kiimani.
  6. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Vitabu hivyo wamevikataza maana vinawaletea ukakasi!!
  7. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Kwenye harusi ya Wayahudi wa enzi zile walikunywa juice???? Where do you get that ? Does secular history say so au ni mawazo yako tu??
  8. R

    JamiiForums Tanzania Kwanini muujiza wa kwanza wa Yesu ulikuwa kubadilisha maji kuwa divai na sio kutengeneza Biblia?

    Neno halisi la Kigiriki Biblos lina maana ya maktaba au mkusanyiko wa vitabu. Ni watu walikaa chini na mkusanyiko wa vitabu vingi wakachagua vile ambavyo vilikuwa vinaendana na failsafe na teolojia zao wakasema hivyo ndivyo vilivyovuviwa na Roho Mtakatifu. Vile visivyoendana na mawazo yao...
  9. R

    JamiiForums Tanzania Kati ya hukumu ya kifo na kifungo cha maisha,ipi ni adhabu kali zaidi?

    Kati ya kufungiwa kwenye chumba ukae humo mpaka ufe au utundikwe kwenye kamba,au uchomwe sindano yenye kemikali za sumu au upitishiwe umeme wa msongo mkubwa kwenye mwili wako ufe instantly, ipi kati ya hizi ni adhabu kubwa kwa serious crimes?
  10. R

    JamiiForums Tanzania Umeme unapokatwa asubuhi mpaka jioni, wapo wanaoathirika vibaya

    Najiuliza hakuna namna ya kufanya matengenezo kwa awamu ili basi Tanesco mkate umeme walau kwa saa nne na siku inayofuata mkafanya tena hivyo? Hamjui au ni kwamba hamjali kwamba kuna watu ambao maisha yao hutegemea kipato cha kila siku kwa mfano kibarua anayefanya kwenye welding au kinyozi...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Ndio akili ya mwafrika ilipofikia hapo. Tutabaki nyuma na kuwa watu wa kudharaulika tu. Wenzetu wanatumia vizuri akili sisi tunafukia akili kwenye mavumbi tunakimbizana kwenda makanisani kuomba miujiiza. Hizi teknolojia tunazotumia wenzetu waliomba miujiza au walijua Mungu amewapa akili so it is...
  12. R

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Labda kwa ufupi. Kabla ya Nicea Council imani juu ya Yesu haikuwa unified. Kila mtu na lwake. Baadae tena kukatokea mgawanyiko ndio hayo madhehebu unayoyaona leo.
  13. R

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Nakushauri tu usome historia ya ukristo au hata na secular history ili upate ukomavu. Maana naona kama unasema ukristo ulianzia na wakatoliki.
  14. R

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    666 inaeleweka vizuri tu ukisoma Ufunuo wa Yohana kwenye lugha yake asili ,Kigiriki. Walioandikiwa walielewa vizuri sana ni nani huyo. Sasa wakristo wa leo na wanateolojia wanahangaika na tafsiri za hovyo as if kitabu hicho waliandikiwa wao. What a pity!
  15. R

    JamiiForums Tanzania Makanisa mengi ya kilokole hapa Bongo hayafundishi tena kuhusu Mpinga Kristo & 666. Kulikoni?

    Ukristo ulikuwa fragmented tangu mwanzo. Madhehebu yalikuwa mengi. . Mfalme Connstantine alipotaka kuufanya kuwa dini ya Roman Empire ili kupata political stability aliona itakuwa ngumu if there was no uniform doctrine of faith. Akawaita maaskofu mia tatu kupiga kura kwamba ipi iwe official...
Back
Top Bottom