Hbr Jf,
Natafuta binti mrembo wa kuoa, awe na sifa zifuatazo:
*Awe muislamu
Asiwe mlevi
Umri usizidi miaka 23 mpaka 26
Elimu yeyote aliyonayo
Asiwe na mtoto
Sifa zangu:
*Muislamu
Nina umri wa miaka 30
Situmii kilevi chochote
Nimejiajiri, kipato cha kawaida kutosha kulea familia
Mrefu wa...