Habari ndugu zangu,
Naomba mnisaidie kwa mkazi wa morogoro kupata tips za nafasi ya kazi katika viwandani,kwa aiyeoko morogoro na anajua nafasi zinapatikani anijuze
mkuu mm npo tyl,elimu yang ni form 4,uzoefu nilinao nilishafanya kazi kweny kampuni ya pushsky nikuwa kama CUSTOMER SERVICE OFFICER nlifany kwa miaka 3.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.