Ukweli ni kwamba bado kuna tatizo la bao la mkono hapa!. Tume imetangaza kuwa, waliojiandikisha kwa halali ni watu 23,782,558. Kama ni kweli wastani ya wapiga kura wanaotakiwa kwa kila kituo ni 450, basi unahitaji wastani wa vituo 52,850. Lakini NEC wanasema wanahitaji vituo 65,000. Hii ni...
Wakati watu wanafikiri kuwa kampeni inafunguliwa kwa mikutano Jwangwani, jamaa anaanza kwa kuwatembelea wapumbavu wenzake mitaani kuwajulia hali. jamaa anatisha!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.