Recent content by rajabumahede

  1. R

    Zijue faida mbalimbali za kula papai kiafya

    Hizi ni faida za kiafya za kula tunda papai Papai ni katika matunda yayayopatikana maeneo mengi duniani. Tunda hili limekuwa likizungumziwa sana na watoaji wetu wa tiba za kiasili na hata za hospitalini. Yapo matunda mengi sana yenye sifa hizi za kutajwa katika nyanja za tiba ama vile ndimu...
  2. R

    Maajabu ya Cheetah Mnyama anayekwenda kwa kasi zaidi kuliko wanyama wote wa porini

    Sorry unajuwa bado sijajua kutumia vuzuri huu mtandao, nilitaka kuongeza picha ya nde ivi sasa nikagundua picha hijafika ndipo nijaona repy yangu niifute, pia hata hivyo sina uhakika kama nimefuta yangu tu ama na ile nilokuwa naireply
  3. R

    Maajabu ya Cheetah Mnyama anayekwenda kwa kasi zaidi kuliko wanyama wote wa porini

    Maajabu ya Cheetah mnyama anayekwenda mbio zaidi kuliko wanyama wote nchi kavu. Huyu ni katika wanyama jamii ya paka, na anafanana zaidi na mnyama anayeitwa puma. Cheetah ni mnyama mwindaji kama walivyo chui, simba na mbwa mwitu. Ijapokuwa cheetah wanafanana kwa sura na maumbile lakini unaweza...
  4. R

    Yafahamu maradhi yanayoshambulia Ini na dalili zake

    Yajuwe maradhi ya ini na dalili zake JE! UNAJUWA KUWA:- Ini ni katika viungo muhimu sana katika mmeng'enyo wa chakula mwilini. Ini husaidia kuondosha sumu za vyakula na katika utunzaji wa glucose ambayo hutumika katika kutupatia nguvu na nishati. Kiungo hiki kinaweza kushambuliwa na maradhi...
  5. R

    Matatizo ya choo kidogo na vijiwe katika figo

    MATATIZO YA CHOO KIDOGO NA VIJIWE KATIKA FIGO Figo ni kiungo muhimu katika uchujaji wa Damu na kuondoa sumu na uchafu mwingine na kuutoa nje kupitia mkojo. Kiungo hiki kinakabiliwa na hatari nyingi kama hakitatunzwa vyema. Miongoni mwa athari hizo ni vijiwe vya kwenye figo. Endapo hivi vitatokea...
Back
Top Bottom