Kwanza kabisa natanguliza shukrani
Nina kesi ya madai mahakama ya wilaya lakini kwa bahati mbaya mwisho wa kesi ikagundulika imekosewa jina la mdaiwa ikabidi isimame utekelezaji wake.sasa mimi ninataka nifungue kesi upya.Lengo la kuja hapa wadau ninaomba kujua utaratibu na jinsi ya kupata...
Abdul S Naumanga
Habari kiongozi natumaini u mzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.
Baada ya siku kadhaa kupata muongozo kutoka kwako leo hii nimerudi tena kuomba muongozo.
Nilifuata maelekezo yako nikatafuta mwanasheria nikamueleza lakini yeye hakuniambia kuhusu...
Pascal Mayalla Habari kiongozi natumaini u mzima wa afya na unaendelea vyema na majukumu yako ya kila siku.
Baada ya siku kadhaa kupata muongozo kutoka kwako leo hii nimerudi tena kuomba muongozo.
Nilifuata maelekezo yako nikatafuta mwanasheria nikamueleza lakini yeye hakuniambia kuhusu chamber...
NB: Jina la hiyo kampuni daiwa lilikosewa tangu kesi inaanza na ilikosewa herufi moja tu na ile nadhani ni summons(kama sijakosea) iliyopelekewa hiyo kampuni daiwa ilikuwa na makosa hayo. je kwa hapo inawezekana kuendelea na utekelezaji wa hukumu maana makosa hayo yalitokea tangu mwanzo wa kesi...
NB: Jina la hiyo kampuni daiwa lilikosewa tangu kesi inaanza na ilikosewa herufi moja tu na ile nadhani ni summons(kama sijakosea) iliyopelekewa hiyo kampuni daiwa ilikuwa na makosa hayo. je kwa hapo inawezekana kuendelea na utekelezaji wa hukumu maana makosa hayo yalitokea tangu mwanzo wa kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.