Recent content by ragallah

  1. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Ni wazo zuri, ni something to think about.
  2. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Nishapambana naye yule mwanamama. Anaweza kuku-drive you to drinking!
  3. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Duh! Kwa hiyo unataka kusema kuwa Waafrika walioletwa kuchuma pamba Texas waliletwa kujifunza?
  4. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Maana nikiwa kwenye mitandao hii ukisema ulipo jamaa wanaanza kujibu kuwa unataka tusikubishie kwa sababu uko US na mambo mengine petty. Kwa hiyo maskani yangu naiweka kwenye periphery ya discussion.
  5. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Kimweri alikuwa anazungumzia research methodology na wewe ulikuw unazungumzia research kwa ujumla, sikusema ame-narrow, isipokuwa focus yake ilikuwa narrow. Kwa experience yangu ya huku boti za uvuvi na leisure huwa na separate infrastructures, sababu sehemu za uvuvui lazima ziwe na sehemu...
  6. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Unajua jamaa wanasema "You catch more flies with honey". Ukiwa unaongea na mtu, usifanye hoja yake kuwa ni mbovu hata kama hukubaliana nawe. Power of persuasion is empathy, na hata kwenye negotiations lazima umpe mpinzani wako a little something, mega wewe kipande, mpe na yeye kipande. Ama...
  7. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Sijakimbia, lakini ni maswali yako mengine siwezi kuyajibu kwa sababu sijui. Hamna aibu kusema hujui kitu fulani badala ya kulazimisha mchango wa kitu usichokijua.
  8. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Itakuwa poa, ingawa Bw Lusungo kasha nionya kuwa nitoe mchango unaoweza kusaidia TZ. Software nazoandika ni za ku-analyze satellite images, kwa Tanzania sidhani ni dili sana, labda kuangalia labda impact deforestation, au productivity ya kilimo; ingawa kama wakulima wanalalamika kubambikiwa...
  9. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Ile haikuwa ajira, ilikuwa kazi bila malipo.
  10. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Labda nimekuwa too general. Labda ningesema natumani humzungumzii yule profesa wa kilimo aliyepata shahada yake Uchina hivi karibuni.
  11. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Ingawa hapa nitakuwa najiset up kwa mashambulizi, lakini itabidi niseme kuwa nilikuwa nahofia kutoa mchango wangu hapa kwa sababu sina uzoefu na sekta ya elimu Tanzania na elimu yangu nilipata nje. Hata hiyvo from anecdotal evidence niliyopata hapa na pale ni kwamba PESA inachangia kupika...
  12. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Mimi naona nimejichomeka hapa bila ya kujua backgrounds za wachangiaji. Mimi sina agenda yoyote hapa, kusema kuwa Jeshi la Marekani limechangia katika kugundulika vitu vingi, sikumaanisha hamna mtu yoyote mwingine aliyechangia. Lakini ukisubiri jeshi la CCM la akina Mwamuyangue kuanzaisha...
  13. R

    Hivi Maprofesa na PhD candidates wanapublish wapi paper zao hapa Tanzania?

    Watashabikia insofar as negative impact kwa biashara zao. Lakini since Kimweri alisema kuwa tafiti za vyuo sio babu kubwa kama za kampuni nilikuwa najibu kuwa kampuni zinazofanya tafiti zinafanya kwa matumaini ya kutengeza hela, siyo kusaidia jamaa. Na kampuni za uvuvi au hoteli generally huwa...
Back
Top Bottom