Recent content by radhiya

  1. radhiya

    JamiiForums Tanzania House4Sale House For Sale at Makumbusho Victoria

    Hakuna kiasi chochote kilichoongezwa, bei iliyowekwa ndio bei aliyoitaja mwenye nyuma. Prath real estate Hatuna utaratibu wa kuongeza wala kupunguza bei isipokuwa kwa matakwa ya mteja tu. Asante.
  2. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Victoria Makumbusho nyuma ya Tanzanite house na Uporoto st

    😀😀😀Umenifanya nicheke hapo kwenye "job is a measurement of humanity" but why
  3. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Victoria Makumbusho nyuma ya Tanzanite house na Uporoto st

    Karibu sana
  4. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Victoria Makumbusho nyuma ya Tanzanite house na Uporoto st

    Karibu sana
  5. radhiya

    JamiiForums Tanzania Nyumba Inauzwa Victoria Makumbusho nyuma ya Tanzanite house na Uporoto st

    Nyumba Inauzwa. -Iko Mita 100 kutoka kituo cha abiria Victoria. -Iko nyuma ya Tanzanite House na barabara ya Uporoto. Maelezo; -Nyumba yenye Sebule, Vyumba viwili kimoja Master bedroom, public toilet, jiko na baraza na baccon, choo cha nje, chumba cha kufulia na chumba cha stoo, CCTV camera...
  6. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa Kinondoni Msisiri

    Sawa, kwa kukujuza tu wanunuaji wa hizo bei ulizotaja ni vijana na si wazee kama ulivyofikiri.
  7. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa Kinondoni Msisiri

    Isivyo bahati sina eneo lenye bei hii 25mio
  8. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa Kinondoni Msisiri

    Hapana sio bondeni, soma ramani vizuri utaelewa.
  9. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa Kinondoni Msisiri

    Kwa sqm hizihizi watakuja wanunuzi na sio watakatishaji.
  10. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa Kinondoni Msisiri

    Ndio , ni kiswahili cha kawaida tu kinachoeleweka. Hakuna cha kushangaa.
  11. radhiya

    JamiiForums Tanzania Eneo Lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa Kinondoni Msisiri

    Eneo lenye Nyumba ya Kuvunja Linauzwa. Mahali: Kinondoni Msisiri, Mtaa wa Ndotonadai. Eneo liko mita chache kutoka barabara ya Kawawa. Eneo liko karibu na Mahakama ya Kinondoni na kanisa la kkkt Kinondoni. Eneo liko karibu na Shule ya Sekondari ya Kambangwa. Ukubwa wa Eneo: SQM 326. Bei: Tzs...
  12. radhiya

    JamiiForums Tanzania New Villas For Rent in Oysterbay

    NEW LUXURY VILLA AVAILABLE FOR RENT Location: Oysterbay, Dar es salaam 3bhk unfurnished - usd 3300 pm. 3bhk furnished - usd 4000 pm. 4bhk unfurnished - usd 4500 pm. 4bhk furnished - usd 5500 pm. All prices, service charges inclusive. Contact us to schedule a viewing. A small viewing fee...
  13. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot For Sale at Msasani Ghuba road

    Plot For Sale at Msasani. -It has a small warehouse inside. -It's opposite Msasani fish market. Location: Ghuba road. Plot size: SQM 450. Price: USD 450,000. Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly contact us. A small viewing fee will apply...
  14. radhiya

    JamiiForums Tanzania Plot for Sale at Mikocheni regent estate/Victoria

    Plot For Sale at Mikocheni regent estate/Victoria. There's car showroom. Permit to build up to 15 floor. Location: Along new bagamoyo road. Size: 25,080sqft ~ 2330sqm. Permit: Mixed use. Price: USD 2.2M, Negotiable. Document: Title Deed. For more information or to schedule a viewing, kindly...
  15. radhiya

    JamiiForums Tanzania New apartments for sale in Mikocheni

    SKY ROYAL Commercial and residential units for sale. Experience a luxury Seaview city living in our stylish and modern project located at Mikocheni Ursino st. Our prime location offers easy access to restaurants, shops and entertainment venues. Prices starting: 2 bedrooms: USD 238,098 -...
Back
Top Bottom