Recent content by R.V.P

  1. R

    Oral Interview, Dodoma University.

    mwenye orodha ya walioitwa naomba aiweke hapa tafadhali kwani nasikia wameweka kwenye web yao na huku bush kuna usumbufu wa mtandao.
  2. R

    tanroad morogoro wameita

    post za cashier wameshapigiwa?kwani kila ninayemcheki anasema bado,au wewe ulikuwa post gani?
  3. R

    Tanroad morogoro

    kapata kazi gani?
  4. R

    Tanroad morogoro

    Tusubiri tuone yatakayotokea mkuu kwani ajira za bongo hazieleweki.
  5. R

    Tanroad morogoro

    Kwani vipi mkuu?hata mimi nilifanya usaili dec ila matokeo bado.umeshapata habari yoyote?
  6. R

    Msaada kuhusu TANROADS DODOMA.

    Mliofanya majibu yameshatoka?
  7. R

    TANROAD Morogoro Updates

    Naomba kujua kama Tanroad Morogoro wameita watu kazini.
  8. R

    PPF na NSSF

    Mfuko unaolipa vizuri ni PSPF kwa sababu wao hawaangalii umechangia kiasi gani kama mifuko mingine ila wanachoangalia wao ni mshahara wa mwisho wa mfanyakazi anapostaafu na ndio wanaoutumia kukokotoa mafao yake.Huu ndo mfuko wa serikali kuu na mifuko mingine yote imetokea hapo.
  9. R

    Any new updates for ndc - kibaha project

    Ulifanya post gani?
Back
Top Bottom