Mkuu, Wanadamu wakikuchukia wanaweza kukupaka kila aina ya matope!! Hata hivyo bado Mungu anasimama kutetea watu wake wawe hai au wamekufa.
Kwa Wakristo haturuhusiwi kumjadili Marehemu maana hatujui wakati ana aga dunia alisemezana nini na Mungu wake! Na inawezekana hata kama alikuwa na dhambi...
CV imeondolewa Instagram ingawa watu wamesha download! Kwanini Prof Janabi ameiondoa CV aliyoiweka mwenyewe ktk kuanza kampeni ya safari yake ya WHO! Je! Ni kweli kuna mambo hayako Sawa? Tunasubiri alete mpya tulinganishe!!!
Narudia tena kama TAIFA tunaenda kupambana na Africa nzima! Muda huu...
Kwenye list ya MUHAS Jina lake halipo! Sasa lini alimsimamia Vipi Marehemu na mkewe mitihani? Hili nalo linachanganya!!
Kama ni kweli alipata DISCO akiwa anatafuta degree yake ya MMED hapo Muhimbili basi ni vyema aweke record zake vizuri ni mwaka gani alifeli na kuondoka nchini.
Associate...
Sasa kama MCT haimtambui kama Daktari aliwezaje kufanya kazi kama Daktari Bingwa Siku zote hizo? Mbona kama hii Mifumo inatuvuruga? Sasa ni wangapi wana hii changamoto na mmeekaa kimya?
Pili kama ndani tu wataalamu wenzake mmeanza kumkataa huko nje ataenda kushindana na nani? Reference point...
Kaka Paskali asante kwa ujumbe muruwaa! Kabla sijachangia naomba unisaidie kujibu swali langu!
JE! KUNA AWAMU AMBAYO DAMU HAZIKUMWAGIKA?
Pili! Je! Kama watu wanafanya mambo yao huko wanauana au Wanaua na Rais hahusiki kwanini hiyo dhambi aibebe?
Kumbuka Rais SAMIA alisema hajawahi Kuua mtu...
Umeongea vizuri sanaaa!!
Unamfahamu Robert Kenedy Jr ambaye Rais Trump amemteua kuwa Waziri wa Afya wa US? Unafahamu historia yake ya kupinga COVID 19 na chanjo kwa ujumla?
Leo huyo Robert Kenedy ndio Waziri wa Afya na aliwapeleka watu Mahakamani kwenye suala zima la COVID 19!!
Google...
Hawa ndg zetu uliowataja wawili kati ya watatu wameshatangulia mbele za haki kama alivyotangulia huyu uliyemtaja wote RIP!!! Kipo kitu cha kujifunza ktk majira na mifumo tunayopitia! Ya kesho anayajua Mungu!!!
Mathayo 6:9-13
Utusamehe makosa yetu kama nasi tulivyowakosea waliotukosea!! Dini inahubiri UPENDO na MSAMAHA!! Mengine Mungu huyaruhusu ktk Maisha yetu ili ajitwalie UTUKUFU!!
Watu wamemsahau Mungu na wamegeuka miungu watu!! HUKUMU YA MUNGU INAKUJA Sawa na Zaburi ya 35 na 109.
Mungu mwenyewe...
Usije kukuta hayo makanisa yameshakimbilia Tanzania! Mungu atusaidie!
Ila kelele na vyombo vya habari vikiendelea kufichua huu utapeli Tz tutapona. Tusiache huu mzigo kwa Serikali pekeee!!!!
Rais ni Taasisi na sio mtu!! Maana yake unataka kusema mifumo ipo corrupted?
Jambo hili ni nyeti sanaaaa!! Kama kweli wewe ni MZALENDO, Nashauri tujadiliane suala hili kwa facts, figures and evidence if any; bila kumdhalilisha kiongozi wa nchi!!! Samahani lakini kama nimekukwaza!!
JF Siku...
Kwa sasa maeneo yote ya Fedha mtandao kama Tigo Pesa, Mpesa nk hawataki ulipe kwa control number! Mfumo upo corrupted kwa kiwango kikubwa sana! Wanadai wakilipa malipo hayaonekani nk!!! Wapo wengine wanalipia baadaye unaambiwa malipo hayaonekani au hayajafika na mwishowe kama hukutunza ushahidi...
Habari ndg great thinkers!! Nimeona mkeka mpya wa mama! Nimeutafakari kwa kina! Hakika kila Rais anapenda kufanya kazi na team anayoiamini! Mengine tumuachie Mungu!
Kwa Leo mchango wangu ni kuhusu Herry James! Hakika anafaa kuwa Mwenezi CCM (T) kwasababu zifauatazo:-
1. Ana ushawishi mkubwa...
Hatari sana! Ugonjwa wa Rais Magufuli ulijulikana zaidi kwa kina Tundu Lisu, Kigogo nk huku Makamu wa Rais akiwa hajui lolote!! Tena Rais akiwa amelazwa Hospitali ya viongozi! Wenye akili wazitumie vizuri kufikiri na kutoa majibu!! Kilichompata Rais Magufuli kinaweza kumpata yoyote! Ni vyema...
Huyu mnyama amewindwa wapi? Usije kuta ni kwenye Hifadhi zetu. Anayejua afafanue. Tanzania ni kubwa.
Aidha, Nashauri mambo mawili; Sheria ya uwindaji ipitiwe upya ina mapungufu mengi na pili kuunga mkono juhudi za Royal Tour na Kazi kubwa na nzuri iliyofanywa na inaendelea kufanywa na Rais...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.