Recent content by Qin

  1. Q

    KERO Kuunganishiwa umeme kunachukua muda mrefu sana Geita

    Nimelipia gharama za kuunganishwa na umeme toka mwezi February mwaka huu. Nimejisomba sana kwenda Tanesco kila leo mpaka sasa nimechoka. Nilipohamia kwenye nyumba nimepata tabu sana mwanzoni kutokana na giza ila mpaka nimeona sasa ni kawaida. Uwajibilaji uko wapi? Hizo nguo za toka February...
  2. Q

    Kukosekana kwa msimamo wa Mtaala Mpya wa Masomo ulioagizwa kutekelezwa toka Julai 1, 2024

    Shule za advance zilifunguliwa July 1 2024 na tukapewa maelekezo ya kutumia mtaala ulioboreshwa. Tukapeenda na seminar zilizochukua takriban siku 3, kutoka mtaala uliopita kuna masomo yalifutwa kama General studies(GS), na kuna yaliyobadilishwa kama Commerce kwenda business studies, kuna...
Back
Top Bottom