Siku hizi uhamiaji naona kama wako pouwa tu na ufanisi wao umeongezeka mana nilijaza form na pamoja viambatanishi vyote nilienda mara moja kupeleka na siku hiyo nilichukuliwa vidole na baada ya wiki moja passport yangu ilitoka.
Wala sikumuhonga mtu hata centi moja na baada ya hapo niliwasaidia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.