Habari wanajamii wenzangu, mimi nahitaji nyumba kwa ajili ya holiday, kwa miezi 4 yaani kuanzia mwezi wa kumi na moja mwaka huu, mpaka wa wa pili mwakani.nahitaji nyumba ambayo ni fully furnished one master bedroom and kitchen, iwe na maji, umeme na fence. iwe Dar es salaam napendelea maeneo...