Recent content by put

  1. P

    Tulikosea katika madini, tusikosee katika gesi

    Tukosee mara ngapi mkuu?
  2. P

    Operesheni safisha wenye vyeti feki Serikalini yaja mwezi Februari mwakani

    Hapo serikali inahitaji kufkiri mara 2 nakama haya majeshi yetu yatapitiwa na hiyo kumba kumba ujambawazi si ndio utakuwa balaaa!!!
  3. P

    Prof. Muhongo: Serikali kununua umeme wa bei nafuu Ethiopia

    Mtumbua majipu wakati wa kampeni alisema wazii kuwa gesi ni ya mtu kwa miaka 7, sasa nini hamuelewi?.
  4. P

    Naibu Waziri wa Afya Dkt. Kigwangalla afanya ziara ya kushtukiza kwa Dr. Mwaka

    Ttz baadhi ya watanzania tunajifanyaga wajuaji kila kitu. Halafu tukishalizwa tunaanza kuilaumu serikali, serekali ikifanya kazi yake tunaanza tena kuikosoa, tuipe serikali nafasi ikichemka ndio tuikosoe.
  5. P

    Jaffo nae afanya ziara ya kushtukiza Bahi

    Naunga mkono ziara za kushtukiza, kwa sababu zinabaini madudu mengi.
  6. P

    Amerudi Kwenye Baraza, Mpiganaji Aliyepigana Hadi Risasi Ya Mwisho!

    Nakushabikia vitu ambavyo hawavijui mkuu
  7. P

    Amerudi Kwenye Baraza, Mpiganaji Aliyepigana Hadi Risasi Ya Mwisho!

    Mkuu kabla ya Muhongo nguzo ilikuwa 1.1milion, baada ya yeye kuchukua wizara nilivuta umeme kwa laki na 76 elfu, halafu kuna watu wanakuja na kusema eti hafai blaly fuuuu. kumbe kabana dili zao
  8. P

    Amerudi Kwenye Baraza, Mpiganaji Aliyepigana Hadi Risasi Ya Mwisho!

    Mininafurahaaa utadhani dingi angu kachaguliwa. anayepinga uteuzi wa Muhongo lazima atakuwa anakaa Line ya mochwari manake umeme hauzimi mda mrefu.+au nyumba za Nhc ambazo unakuta umeme ulishavutwa kbs.
  9. P

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Acha umbea Nashe kabila gani?
  10. P

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Kaka nimekugongea Like, mistaki hata kujua waziri mwingine ni nani..
  11. P

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Yupo naibu mkuu hawathubutu kutuacha hivyihivyi
  12. P

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Ni moja ya Mawaziri waliofanya kazi ilioonekana..
Back
Top Bottom