Recent content by Pure Marxist

  1. P

    Msaada wa kimawazo tafadharini........!

    Ahsante kwa mawazo mkuu!
  2. P

    Msaada wa kimawazo tafadharini........!

    Kuna rafiki yangu ana miaka 28 sasa, na yuko mwaka wa pili katika chuo flan hapa nchn, katka maisha yake hajawah kukutana na mschana ambaye anawez kumuoa, kwa sasa ana miez 6 yuko na mahusiano na mschana flan yuko form 3, ana miaka 20,mschana mwenyewe yuko conscious na masomo na yuko vzr ingawa...
  3. P

    'Mapenzi haya.....Naombeni msaada wa kimawazo tafadhalini wana Jamvi'

    Ndugu wana jamvi, tafadhali naombeni msaada wenu wa kimawazo kwa hli janga,mimi mwanachuo mwaka wapili sasa, nina mschana ambaye nimekuwa nae kwa miaka 2 sasa, ofkoz mwanzon nilipanga kuwa nae kama mchumba, lkn kadr sku zlivyozd kwenda nilikuta ana mapungufu mengi ambayo yalnifanya niondoe...
Back
Top Bottom